4 Ndipo wakasema: “Haya! Na tujijengee jiji na pia mnara na kilele chake kiwe mbinguni,+ na tujifanyie jina maarufu,+ tusije tukatawanyika juu ya uso wote wa dunia.”+
13 Kwa habari yako, wewe umesema moyoni mwako, ‘Nitaenda juu mbinguni.+ Nitakiinua kiti changu cha ufalme+ juu ya nyota+ za Mungu, nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano,+ katika sehemu za mbali zaidi za kaskazini.+