3 Naye Musa akawaambia watu: “Na ikumbukwe siku hii ambayo mlitoka Misri,+ katika nyumba ya watumwa, kwa sababu kwa nguvu za mkono Yehova aliwatoa hapa.+ Basi chochote kilicho na chachu kisiliwe.+
20 Lakini ninyi ndio watu ambao Yehova alichukua apate kuwatoa nje ya tanuru ya chuma,+ toka nje ya Misri, ili muwe watu wa mali ya kibinafsi kwake+ kama ilivyo leo hii.