2 Mambo ya Nyakati 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na nyumba nitakayoijenga itakuwa kuu,+ kwa maana Mungu wetu ni mkuu kuliko miungu mingine yote.+ Isaya 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika mwaka ule aliokufa Mfalme Uzia,+ mimi, hata hivyo, nilimwona Yehova,+ akiwa ameketi juu ya kiti cha ufalme+ kilicho juu na kilichoinuliwa, na pindo za nguo yake zilikuwa zimelijaza hekalu.+
6 Katika mwaka ule aliokufa Mfalme Uzia,+ mimi, hata hivyo, nilimwona Yehova,+ akiwa ameketi juu ya kiti cha ufalme+ kilicho juu na kilichoinuliwa, na pindo za nguo yake zilikuwa zimelijaza hekalu.+