Zaburi 119:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Moyoni mwangu nimeweka hazina ya maneno yako,+Ili nisikutendee dhambi.+ Luka 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na zile zilizo kwenye udongo mzuri, hawa ndio ambao, baada ya kusikia lile neno kwa moyo+ mzuri na mwema, hulihifadhi na kuzaa matunda kwa uvumilivu.+
15 Na zile zilizo kwenye udongo mzuri, hawa ndio ambao, baada ya kusikia lile neno kwa moyo+ mzuri na mwema, hulihifadhi na kuzaa matunda kwa uvumilivu.+