Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Maserafi walikuwa wamesimama juu yake.+ Kila mmoja alikuwa na mabawa sita. Aliufunika uso wake kwa mawili,+ na kwa mawili aliifunika miguu yake, na kwa mawili aliruka huku na huku.

  • Ezekieli 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nao wale wanne, kila mmoja wao alikuwa na nyuso nne+ na kila mmoja alikuwa na mabawa manne, na mfano wa mikono ya mtu wa udongo ilikuwa chini ya mabawa yao.

  • Ufunuo 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na kwa habari ya wale viumbe hai wanne,+ kila mmoja wao ana mabawa sita;+ kuzunguka pande zote na chini yao wamejaa macho.+ Nao hawapumziki mchana na usiku huku wakisema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova+ Mungu, Mweza-Yote,+ aliyekuwako+ na aliyeko na anayekuja.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki