Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 58:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na kwa mwongozo wako hakika watu watajenga mahali palipoharibiwa muda mrefu;+ utaisimamisha misingi ya vizazi vyenye kufuatana.+ Na wewe kwa kweli utaitwa mrekebishaji wa tundu,+ mtengenezaji wa barabara za kukaa kando yake.

  • Yeremia 33:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Yehova amesema hivi, ‘Katika mahali hapa ambapo ninyi mtakuwa mkisema ni ukiwa usio na mwanadamu wala mnyama wa kufugwa, katika majiji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu ambazo ziko ukiwa+ pasipo na mwanadamu wala mkaaji wala mnyama wa kufugwa, bado itasikiwa+

  • Amosi 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nitakusanya na kurudisha mateka wa watu wangu Israeli,+ nao watajenga majiji yaliyofanywa ukiwa na kukaa ndani yake,+ watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake, watafanyiza bustani na kula matunda yake.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki