26 Nao kwa kweli watakaa juu yake kwa usalama+ na kujenga nyumba+ na kupanda mashamba ya mizabibu,+ nao watakaa kwa usalama+ ninapofanya matendo ya hukumu juu ya wale wote wanaowatendea kwa dhihaka kuwazunguka pande zote;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova Mungu wao.” ’ ”
25 “ ‘ “Nami nitafanya agano la amani pamoja nao,+ na hakika mimi nitamkomesha katika nchi mnyama-mwitu mwenye kudhuru,+ nao kwa kweli watakaa nyikani kwa usalama na kulala katika misitu.+