1 Mambo ya Nyakati 6:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na hawa ndio ambao Daudi+ aliwapa vyeo kwa ajili ya kuongoza uimbaji katika nyumba ya Yehova baada ya Sanduku kupata mahali pa kupumzika.+ Waefeso 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 mkijisemesha kwa zaburi+ na sifa+ kwa Mungu na nyimbo za kiroho, mkiimba+ na kupiga muziki+ katika mioyo yenu kwa Yehova, Wakolosai 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Neno la Kristo na likae ndani yenu kwa wingi katika hekima yote.+ Endeleeni kufundishana+ na kuonyana kwa zaburi,+ sifa kwa Mungu, nyimbo za kiroho+ kwa neema, mkimwimbia Yehova+ mioyoni mwenu.
31 Na hawa ndio ambao Daudi+ aliwapa vyeo kwa ajili ya kuongoza uimbaji katika nyumba ya Yehova baada ya Sanduku kupata mahali pa kupumzika.+
19 mkijisemesha kwa zaburi+ na sifa+ kwa Mungu na nyimbo za kiroho, mkiimba+ na kupiga muziki+ katika mioyo yenu kwa Yehova,
16 Neno la Kristo na likae ndani yenu kwa wingi katika hekima yote.+ Endeleeni kufundishana+ na kuonyana kwa zaburi,+ sifa kwa Mungu, nyimbo za kiroho+ kwa neema, mkimwimbia Yehova+ mioyoni mwenu.