9 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Imetosha, enyi wakuu wa Israeli!’+
“ ‘Ondoeni jeuri na uporaji,+ na mfanye haki na uadilifu.+ Acheni kutumia uwezo vibaya kuchukua vitu vya watu wangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
3 Kwa maana wakati+ uliopita uliwatosha kufanya mapenzi ya mataifa+ wakati mlipotembea katika vitendo vya mwenendo mpotovu,+ uchu, divai kupita kiasi,+ karamu za kupindukia, mashindano ya kunywa, na ibada haramu za sanamu.+