1 Mambo ya Nyakati 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Daudi alipomaliza kulitoa lile toleo la kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika,+ akaanza kuwabariki+ watu katika jina la Yehova.+ 2 Mambo ya Nyakati 30:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana Hezekia mfalme wa Yuda alichanga+ kwa ajili ya kutaniko ng’ombe elfu moja na kondoo elfu saba, na wakuu+ wakachanga kwa ajili ya kutaniko ng’ombe elfu moja na kondoo elfu kumi; na hesabu kubwa ya makuhani+ wakaendelea kujitakasa.
2 Daudi alipomaliza kulitoa lile toleo la kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika,+ akaanza kuwabariki+ watu katika jina la Yehova.+
24 Kwa maana Hezekia mfalme wa Yuda alichanga+ kwa ajili ya kutaniko ng’ombe elfu moja na kondoo elfu saba, na wakuu+ wakachanga kwa ajili ya kutaniko ng’ombe elfu moja na kondoo elfu kumi; na hesabu kubwa ya makuhani+ wakaendelea kujitakasa.