Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 58:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 58 “Ita kwa sauti kamili kutoka kooni; usizuie.+ Paaza sauti yako kama baragumu, uwaambie watu wangu maasi+ yao, na nyumba ya Yakobo dhambi zao.

  • Ezekieli 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Mwana wa binadamu, nimekufanya kuwa mlinzi katika nyumba ya Israeli,+ nawe utasikia maneno kutoka katika kinywa changu nawe lazima utawapa maonyo kutoka kwangu.+

  • Ezekieli 20:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 “Mwana wa binadamu, elekeza uso+ wako upande wa eneo la kusini na udondoshe+ maneno kuelekea kusini, na utoe unabii kwa msitu wa uwanja wa kusini.

  • Ezekieli 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, elekeza uso wako Yerusalemu na udondoshe+ maneno kuelekea mahali patakatifu,+ na kutoa unabii juu ya udongo wa Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki