Isaya 58:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 “Ita kwa sauti kamili kutoka kooni; usizuie.+ Paaza sauti yako kama baragumu, uwaambie watu wangu maasi+ yao, na nyumba ya Yakobo dhambi zao. Ezekieli 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Mwana wa binadamu, nimekufanya kuwa mlinzi katika nyumba ya Israeli,+ nawe utasikia maneno kutoka katika kinywa changu nawe lazima utawapa maonyo kutoka kwangu.+ Ezekieli 20:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 “Mwana wa binadamu, elekeza uso+ wako upande wa eneo la kusini na udondoshe+ maneno kuelekea kusini, na utoe unabii kwa msitu wa uwanja wa kusini. Ezekieli 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mwana wa binadamu, elekeza uso wako Yerusalemu na udondoshe+ maneno kuelekea mahali patakatifu,+ na kutoa unabii juu ya udongo wa Israeli.+
58 “Ita kwa sauti kamili kutoka kooni; usizuie.+ Paaza sauti yako kama baragumu, uwaambie watu wangu maasi+ yao, na nyumba ya Yakobo dhambi zao.
17 “Mwana wa binadamu, nimekufanya kuwa mlinzi katika nyumba ya Israeli,+ nawe utasikia maneno kutoka katika kinywa changu nawe lazima utawapa maonyo kutoka kwangu.+
46 “Mwana wa binadamu, elekeza uso+ wako upande wa eneo la kusini na udondoshe+ maneno kuelekea kusini, na utoe unabii kwa msitu wa uwanja wa kusini.
2 “Mwana wa binadamu, elekeza uso wako Yerusalemu na udondoshe+ maneno kuelekea mahali patakatifu,+ na kutoa unabii juu ya udongo wa Israeli.+