Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:65
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 65 Na Sulemani akaifanya sherehe hiyo wakati huo,+ na Israeli wote pamoja naye, kutaniko kubwa+ kuanzia maingilio ya Hamathi+ kushuka mpaka kwenye bonde la mto la Misri,+ mbele za Yehova, Mungu wetu, siku saba na tena siku nyingine saba,+ siku kumi na nne.

  • 2 Wafalme 14:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yeye ndiye aliyerudisha mpaka wa Israeli kutoka mwingilio wa Hamathi+ hadi kwenye bahari ya Araba,+ kulingana na neno la Yehova, Mungu wa Israeli, aliyesema kupitia Yona+ mtumishi wake, mwana wa Amitai, nabii aliyetoka Gath-heferi.+

  • Yeremia 52:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na mfalme wa Babiloni akawapiga na kuwaua+ watu hao kule Ribla+ katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki