Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wimbo wa Sulemani 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Tukamatieni mbweha,+ wale mbweha wadogo wanaoharibu mashamba ya mizabibu, kwa maana mashamba yetu ya mizabibu yamechanua.”+

  • Wagalatia 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini kwa sababu ya akina ndugu wa uwongo+ walioingizwa ndani kimya-kimya,+ walioingia kisirisiri ili kupeleleza uhuru+ wetu tulio nao katika muungano na Kristo Yesu, ili watufanye sisi kuwa watumwa+ kabisa—

  • Waefeso 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 ili tusiwe tena watoto wachanga, tukirushwa huku na huku+ kama kwa mawimbi na kuchukuliwa huku na huku na kila upepo wa fundisho+ kupitia udanganyifu+ wa watu, kwa njia ya ujanja katika kutunga kosa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki