5 Ndipo Resini+ mfalme wa Siria na Peka+ mwana wa Remalia mfalme wa Israeli wakaja juu ya Yerusalemu katika vita na kumzingira Ahazi, lakini hawakuweza kupigana.+
5 Kwa hiyo Yehova Mungu wake akamtia mkononi+ mwa mfalme wa Siria,+ nao wakampiga na kuchukua kutoka kwake hesabu kubwa ya mateka na kuwaleta Damasko.+ Naye pia akatiwa mkononi mwa mfalme wa Israeli,+ naye akampiga kwa mauaji makubwa.
7Sasa ikawa katika siku za Ahazi+ mwana wa Yothamu mwana wa Uzia, mfalme wa Yuda, kwamba Resini+ mfalme wa Siria na Peka+ mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, walikuja Yerusalemu ili kupiga vita juu yake, naye hakuweza kupiga vita juu yake.+