Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 16:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndipo Resini+ mfalme wa Siria na Peka+ mwana wa Remalia mfalme wa Israeli wakaja juu ya Yerusalemu katika vita na kumzingira Ahazi, lakini hawakuweza kupigana.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa hiyo Yehova Mungu wake akamtia mkononi+ mwa mfalme wa Siria,+ nao wakampiga na kuchukua kutoka kwake hesabu kubwa ya mateka na kuwaleta Damasko.+ Naye pia akatiwa mkononi mwa mfalme wa Israeli,+ naye akampiga kwa mauaji makubwa.

  • Isaya 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Sasa ikawa katika siku za Ahazi+ mwana wa Yothamu mwana wa Uzia, mfalme wa Yuda, kwamba Resini+ mfalme wa Siria na Peka+ mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, walikuja Yerusalemu ili kupiga vita juu yake, naye hakuweza kupiga vita juu yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki