Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 29:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “‘Kwa maana mimi najua vema mawazo ninayofikiria kuwaelekea ninyi,’+ asema Yehova, ‘mawazo ya amani, wala si ya msiba,+ ili kuwapa ninyi wakati ujao na tumaini.+

  • Maombolezo 3:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kwa maana si kutoka moyoni mwake mwenyewe kwamba amewatesa au kuwahuzunisha wana wa binadamu.+

  • Ezekieli 33:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Waambie, ‘ “Kama ninavyoishi,” asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, “Ninapendezwa, si na kifo cha mwovu,+ bali kwamba mtu mwovu ageuke na kuiacha+ njia yake na kwa kweli aendelee kuishi.+ Geukeni, geukeni mziache njia zenu mbaya,+ maana kwa nini mfe, Ee nyumba ya Israeli?” ’+

  • Luka 15:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hivyo, ninawaambia ninyi, hivyo ndivyo shangwe hutokea kati ya malaika za Mungu juu ya mtenda-dhambi mmoja anayetubu.”+

  • 2 Petro 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yehova hakawii kuhusiana na ahadi yake,+ kama watu fulani wanavyoona kukawia, bali yeye ni mwenye subira kwenu kwa sababu hataki yeyote aangamizwe bali hutaka wote wafikie toba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki