Hesabu 14:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nanyi hamtaingia katika nchi ambayo niliinua mkono wangu katika kiapo+ ya kwamba nitakaa pamoja nanyi, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+ Zaburi 95:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ambao niliapa juu yao kwa hasira yangu:+“Hawataingia katika mahali pangu pa kupumzikia.”+ Zaburi 106:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa hiyo akainua mkono wake katika kiapo juu yao,+Kwamba angewafanya waanguke nyikani,+
30 Nanyi hamtaingia katika nchi ambayo niliinua mkono wangu katika kiapo+ ya kwamba nitakaa pamoja nanyi, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+