Ayubu 31:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Atanipima katika mizani sahihi+Na Mungu atajua utimilifu wangu.+ Waroma 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+ 1 Wakorintho 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 kazi ya kila mmoja itafunuliwa, kwa maana ile siku itaifichua, kwa sababu itafunuliwa kwa njia ya moto;+ na moto wenyewe utaonyesha kazi ya kila mmoja ni ya aina gani. Wakolosai 3:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Hakika yule anayetenda kosa atapokea malipo+ kwa lile kosa alilotenda, na hakuna ubaguzi wowote.+
13 kazi ya kila mmoja itafunuliwa, kwa maana ile siku itaifichua, kwa sababu itafunuliwa kwa njia ya moto;+ na moto wenyewe utaonyesha kazi ya kila mmoja ni ya aina gani.