1 Samweli 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wale wanaoshindana na Yehova wataingiwa na woga;+Atanguruma juu yao kutoka mbinguni.+Yehova mwenyewe ataihukumu miisho ya dunia,+Ili ampe mfalme wake nguvu,+Ili ainue pembe ya mtiwa-mafuta wake.”+ Zaburi 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wafalme wa dunia wanachukua msimamo wao+Nao maofisa wakuu wamejikusanya pamoja kama mtu mmoja+Dhidi ya Yehova+ na dhidi ya mtiwa-mafuta wake,+ Luka 17:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 wala watu hawatakuwa wakisema, ‘Ona hapa!’ au, ‘Pale!’+ Kwa maana, tazama! ufalme wa Mungu umo katikati yenu.”+ Yohana 1:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kwanza huyu alimpata ndugu yake mwenyewe, Simoni, na kumwambia: “Tumempata Masihi”+ (ambalo linapotafsiriwa humaanisha, Kristo).+
10 Wale wanaoshindana na Yehova wataingiwa na woga;+Atanguruma juu yao kutoka mbinguni.+Yehova mwenyewe ataihukumu miisho ya dunia,+Ili ampe mfalme wake nguvu,+Ili ainue pembe ya mtiwa-mafuta wake.”+
2 Wafalme wa dunia wanachukua msimamo wao+Nao maofisa wakuu wamejikusanya pamoja kama mtu mmoja+Dhidi ya Yehova+ na dhidi ya mtiwa-mafuta wake,+
21 wala watu hawatakuwa wakisema, ‘Ona hapa!’ au, ‘Pale!’+ Kwa maana, tazama! ufalme wa Mungu umo katikati yenu.”+
41 Kwanza huyu alimpata ndugu yake mwenyewe, Simoni, na kumwambia: “Tumempata Masihi”+ (ambalo linapotafsiriwa humaanisha, Kristo).+