Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wale wanaoshindana na Yehova wataingiwa na woga;+

      Atanguruma juu yao kutoka mbinguni.+

      Yehova mwenyewe ataihukumu miisho ya dunia,+

      Ili ampe mfalme wake nguvu,+

      Ili ainue pembe ya mtiwa-mafuta wake.”+

  • Zaburi 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wafalme wa dunia wanachukua msimamo wao+

      Nao maofisa wakuu wamejikusanya pamoja kama mtu mmoja+

      Dhidi ya Yehova+ na dhidi ya mtiwa-mafuta wake,+

  • Luka 17:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 wala watu hawatakuwa wakisema, ‘Ona hapa!’ au, ‘Pale!’+ Kwa maana, tazama! ufalme wa Mungu umo katikati yenu.”+

  • Yohana 1:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Kwanza huyu alimpata ndugu yake mwenyewe, Simoni, na kumwambia: “Tumempata Masihi”+ (ambalo linapotafsiriwa humaanisha, Kristo).+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki