Zaburi 62:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Pia fadhili zenye upendo ni zako, Ee Yehova,+Kwa maana wewe mwenyewe humlipa kila mmoja kulingana na kazi yake.+ Yeremia 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mimi, Yehova, ninauchunguza moyo,+ ninazikagua figo,+ ili kumpa kila mmoja kulingana na njia zake,+ kulingana na matunda ya matendo yake.+ Yeremia 25:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana hata wao wenyewe, mataifa mengi na wafalme wakubwa,+ wamewatumia vibaya kama watumishi;+ nami nitawalipa kulingana na matendo yao na kulingana na kazi ya mikono yao.’”+ Yeremia 30:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Tazama! Dhoruba ya Yehova, ghadhabu, imetoka, tufani inayofagia ikisonga mbele.+ Itazunguka juu ya kichwa cha waovu.+
12 Pia fadhili zenye upendo ni zako, Ee Yehova,+Kwa maana wewe mwenyewe humlipa kila mmoja kulingana na kazi yake.+
10 Mimi, Yehova, ninauchunguza moyo,+ ninazikagua figo,+ ili kumpa kila mmoja kulingana na njia zake,+ kulingana na matunda ya matendo yake.+
14 Kwa maana hata wao wenyewe, mataifa mengi na wafalme wakubwa,+ wamewatumia vibaya kama watumishi;+ nami nitawalipa kulingana na matendo yao na kulingana na kazi ya mikono yao.’”+
23 Tazama! Dhoruba ya Yehova, ghadhabu, imetoka, tufani inayofagia ikisonga mbele.+ Itazunguka juu ya kichwa cha waovu.+