Ayubu 38:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Ni nani anayemtayarishia kunguru chakula chake+Wakati watoto wake wanapomlilia Mungu wapate msaada,Wanapoendelea kutanga-tanga kwa sababu hakuna chakula chochote? Zaburi 104:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wana-simba wenye manyoya shingoni wananguruma kwa ajili ya mawindo+Na kwa ajili ya kutafuta chakula chao kutoka kwa Mungu mwenyewe.+ Zaburi 145:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Macho ya wote yanakutazama yakiwa na tumaini,+Nawe unawapa chakula chao katika majirayake.+ Zaburi 147:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anawapa wanyama chakula chao,+Kunguru wachanga wanaoendelea kuita.+
41 Ni nani anayemtayarishia kunguru chakula chake+Wakati watoto wake wanapomlilia Mungu wapate msaada,Wanapoendelea kutanga-tanga kwa sababu hakuna chakula chochote?
21 Wana-simba wenye manyoya shingoni wananguruma kwa ajili ya mawindo+Na kwa ajili ya kutafuta chakula chao kutoka kwa Mungu mwenyewe.+