12 Nami nitapita katikati ya nchi ya Misri usiku huu+ na kumpiga kila mzaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri, kuanzia mwanadamu hata mnyama;+ nami nitatekeleza hukumu+ juu ya miungu yote ya Misri. Mimi ni Yehova.+
12 Yehova amesema hivi: “Ijapokuwa walikuwa katika hali kamili na wengi walikuwa katika hali hiyo, hata katika hali hiyo watakatwa;+ na mmoja atapita kati. Nami nitakutesa, hivi kwamba nisikutese tena kamwe.+