Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 15:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Baadaye Azaria akalala pamoja na mababu zake,+ nao wakamzika pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi; na Yothamu mwana wake akaanza kutawala mahali pake.+

  • 2 Wafalme 15:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Katika mwaka wa pili wa Peka mwana wa Remalia mfalme wa Israeli, Yothamu+ mwana wa Uzia+ mfalme wa Yuda akawa mfalme.

  • 1 Mambo ya Nyakati 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Amazia+ mwana wake, Azaria+ mwana wake, Yothamu+ mwana wake,

  • 2 Mambo ya Nyakati 27:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yothamu+ alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 16 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Yerusha+ binti ya Sadoki.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki