7 Baadaye Azaria akalala pamoja na mababu zake,+ nao wakamzika pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi; na Yothamu mwana wake akaanza kutawala mahali pake.+
27Yothamu+ alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 16 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Yerusha+ binti ya Sadoki.