1Neno la Yehova+ lililomjia Hosea+ mwana wa Beeri katika siku+ za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda, na katika siku za Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli.
1Neno la Yehova lililomjia Mika+ wa Moreshethi, katika siku za Yothamu,+ Ahazi,+ Hezekia,+ wafalme wa Yuda,+ ambalo aliona katika maono kuhusu Samaria+ na Yerusalemu:+