2 Wafalme 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na ikawa katika mwaka wa tatu wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli kwamba Hezekia+ mwana wa Ahazi+ mfalme wa Yuda akawa mfalme. 2 Mambo ya Nyakati 29:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hezekia+ alikuwa mfalme akiwa na umri wa miaka 25, naye akatawala miaka 29 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Abiya binti ya Zekaria.+ Isaya 36:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Sasa ikawa katika mwaka wa kumi na nne wa Mfalme Hezekia kwamba Senakeribu+ mfalme wa Ashuru+ akapanda kuja juu ya majiji yote yenye ngome ya Yuda na kuyateka.+
18 Na ikawa katika mwaka wa tatu wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli kwamba Hezekia+ mwana wa Ahazi+ mfalme wa Yuda akawa mfalme.
29 Hezekia+ alikuwa mfalme akiwa na umri wa miaka 25, naye akatawala miaka 29 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Abiya binti ya Zekaria.+
36 Sasa ikawa katika mwaka wa kumi na nne wa Mfalme Hezekia kwamba Senakeribu+ mfalme wa Ashuru+ akapanda kuja juu ya majiji yote yenye ngome ya Yuda na kuyateka.+