Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 39:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na jeshi la Wakaldayo likawafuatilia,+ nao wakamfikia Sedekia katika nchi tambarare ya jangwa la Yeriko.+ Kisha wakamchukua na kumleta kwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni kule Ribla+ katika nchi ya Hamathi+ ili atangaze hukumu juu yake.+

  • Yeremia 52:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo wakamkamata mfalme na kumleta kwa mfalme wa Babiloni+ kule Ribla+ katika nchi ya Hamathi,+ ili atangaze maamuzi ya hukumu juu yake.+

  • Danieli 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na kwa sababu ya ukuu ambao Yeye alimpa, vikundi vyote vya watu, vya mataifa na lugha vilitetemeka na kuogopa mbele yake.+ Mtu yeyote aliyetaka kumuua, alimuua; mtu yeyote aliyetaka kumpiga, alimpiga; na mtu yeyote aliyetaka kumwinua, alimwinua; na mtu yeyote aliyetaka kumfedhehesha, alimfedhehesha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki