Isaya 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Majiji ya Aroeri+ ambayo yameachwa yamekuwa mahali pa makundi, ambapo kwa kweli yanajilaza, pasipo mtu yeyote wa kuyatetemesha.+ Ezekieli 25:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nami nitafanya Raba+ pawe kiwanja cha malisho cha ngamia na wana wa Amoni wawe mahali pa kupumzika kwa ajili ya kundi;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.” ’ ”+
2 Majiji ya Aroeri+ ambayo yameachwa yamekuwa mahali pa makundi, ambapo kwa kweli yanajilaza, pasipo mtu yeyote wa kuyatetemesha.+
5 Nami nitafanya Raba+ pawe kiwanja cha malisho cha ngamia na wana wa Amoni wawe mahali pa kupumzika kwa ajili ya kundi;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.” ’ ”+