Zaburi 91:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana atawaamuru malaika zake kukuhusu wewe,+Ili kukulinda katika njia zako zote.+ Zaburi 103:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mbarikini Yehova, enyi majeshi yake yote,+Enyi wahudumu wake, mnaofanya mapenzi yake.+ Waebrania 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Je, wao wote si roho+ kwa ajili ya utumishi wa watu wote,+ waliotumwa kuhudumu kwa ajili ya wale watakaorithi+ wokovu?
14 Je, wao wote si roho+ kwa ajili ya utumishi wa watu wote,+ waliotumwa kuhudumu kwa ajili ya wale watakaorithi+ wokovu?