Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na Asa na watu waliokuwa pamoja naye wakaendelea kuwafuatilia mpaka Gerari,+ na walio wa Waethiopia wakaendelea kuanguka mpaka wakati ambapo hapakuwa na yeyote aliye hai kati yao; kwa maana walivunjwa vipande-vipande mbele za Yehova+ na mbele ya jeshi lake.+ Baadaye wakachukua kiasi kikubwa sana cha nyara.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Basi Yehoshafati na watu wake wakaja kupora nyara+ walizokuwa nazo, na katika nyara hizo wakakuta kwa wingi mali na mavazi na vyombo vyenye kutamanika; nao wakaendelea kuwavua mpaka waliposhindwa kuchukua zaidi.+ Nao wakapora nyara kwa siku tatu, kwa maana zilikuwa nyingi.

  • Zekaria 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Maana tazama, ninatikisa mkono wangu juu yao,+ nao watakuwa nyara kwa watumwa wao.’+ Nanyi mtajua ya kwamba Yehova wa majeshi amenituma mimi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki