17 na hasira ya Yehova iwake juu yenu, naye afunge mbingu hivi kwamba mvua yoyote isitokee+ nayo nchi isitoe mazao yake nanyi mwangamie haraka kutoka katika nchi nzuri ambayo Yehova anawapa ninyi.+
35 “Mbingu ikifungwa hivi kwamba hakuna mvua inayonyesha,+ kwa sababu waliendelea kukutendea dhambi,+ nao kwa kweli wasali kuelekea mahali hapa+ na kulisifu jina lako, nao wageuke kutoka katika dhambi yao, kwa sababu uliendelea kuwatesa,+