13 Acheni kuleta ndani matoleo zaidi ya nafaka yasiyo na thamani.+ Uvumba—ni chukizo kwangu.+ Mwezi mpya+ na sabato,+ kuita mkusanyiko+—siwezi kuvumilia matumizi ya nguvu za uchawi+ pamoja na kusanyiko kuu.
13 “Hili nalo ndilo jambo la pili ambalo ninyi hufanya, na matokeo yake ni madhabahu ya Yehova kufunikwa kwa machozi, kwa kulia na kuugua, hivi kwamba hakuna tena kugeukia toleo la zawadi wala kufurahia kitu chochote kutoka mkononi mwenu.+