Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 22:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kitu chochote chenye kasoro hamtakitoa,+ kwa sababu hakitawaletea ninyi kibali.

  • Isaya 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Acheni kuleta ndani matoleo zaidi ya nafaka yasiyo na thamani.+ Uvumba—ni chukizo kwangu.+ Mwezi mpya+ na sabato,+ kuita mkusanyiko+—siwezi kuvumilia matumizi ya nguvu za uchawi+ pamoja na kusanyiko kuu.

  • Malaki 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Hili nalo ndilo jambo la pili ambalo ninyi hufanya, na matokeo yake ni madhabahu ya Yehova kufunikwa kwa machozi, kwa kulia na kuugua, hivi kwamba hakuna tena kugeukia toleo la zawadi wala kufurahia kitu chochote kutoka mkononi mwenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki