28 Ndipo mmoja wa wale watu akajibu na kusema: “Baba yako aliwaapisha watu kwa uzito, akisema, ‘Alaaniwe mtu yule atakayekula mkate leo!’”+ (Nao watu wakaanza kuchoka.)+
22 Basi Mungu na awafanyie hivyo adui za Daudi na kuzidisha+ ikiwa nitaacha abaki kufikia asubuhi+ yeyote kati ya wote walio wake anayekojoa ukutani.”+
22 Na binti ya Herodia huyohuyo akaingia, akacheza dansi na kumpendeza Herode na wale wenye kuketi+ pamoja naye. Mfalme akamwambia mwanamwali huyo: “Niombe chochote unachotaka, nami nitakupa.”