Methali 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Jibu, linapokuwa la upole, hugeuza ghadhabu,+ lakini neno linaloumiza hufanya hasira ipande.+ Methali 16:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Moyo wa mtu mwenye hekima hukifanya kinywa chake kionyeshe ufahamu,+ na kwenye midomo yake huongeza ushawishi.+ Wakolosai 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Maneno yenu na yawe yenye neema sikuzote,+ yenye kukolezwa chumvi,+ ili mjue jinsi mnavyopaswa kumjibu+ kila mtu.
23 Moyo wa mtu mwenye hekima hukifanya kinywa chake kionyeshe ufahamu,+ na kwenye midomo yake huongeza ushawishi.+
6 Maneno yenu na yawe yenye neema sikuzote,+ yenye kukolezwa chumvi,+ ili mjue jinsi mnavyopaswa kumjibu+ kila mtu.