Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Lakini mimi ni mdudu,+ wala si mtu,

      Shutuma kwa wanadamu na mwenye kudharaulika kwa watu.+

  • Isaya 53:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Alikazwa sana,+ naye alijiachilia ateswe;+ ingawa hivyo hakufungua kinywa chake. Alikuwa akiletwa kama kondoo machinjioni;+ na kama kondoo-jike ambaye amekuwa bubu mbele ya wakataji-manyoya wake, yeye pia hakufungua kinywa chake.+

  • Danieli 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Na baada ya yale majuma 62 Masihi atakatiliwa mbali,+ bila kuwa na chochote kwa ajili yake.+

      “Na watu wa kiongozi anayekuja wataharibu+ jiji na mahali patakatifu.+ Na mwisho wake utakuwa kwa mafuriko. Na mpaka ule mwisho kutakuwa na vita; kilichoamuliwa ni ukiwa.+

  • Luka 22:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Kwa maana nawaambia ninyi kwamba lazima hili ambalo limeandikwa litimizwe kwangu, yaani, ‘Naye alihesabiwa pamoja na waasi-sheria.’+ Kwa maana kile kinachonihusu kinatimia.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki