4 Na wale wote wa jeshi la mbingu wataoza. Na mbingu zitakunjwa,+ kama vile kitabu cha kukunjwa;+ na jeshi lao lote litanyauka, kama vile majani yanavyonyauka na kuanguka kutoka kwenye mzabibu na kama tini iliyonyauka na kuanguka kutoka kwenye mtini.+
10 Lakini siku ya Yehova+ itakuja kama mwizi,+ ambayo katika hiyo mbingu zitapitilia mbali+ kwa kelele ya kuvuma,+ lakini vitu vyake vya msingi vikiwa moto sana vitayeyushwa,+ na dunia+ na kazi zilizo ndani yake zitafunuliwa.+