13 Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo,+ Mungu wa mababu zetu, amemtukuza+ Mtumishi+ wake, Yesu, ambaye ninyi mlimpeleka+ na kumkana mbele ya uso wa Pilato, alipokuwa ameamua kumfungua.+
27 Kwa maana wakaaji wa Yerusalemu na watawala wao hawakumjua Huyu,+ bali, walipokuwa wakitenda wakiwa waamuzi, walitimiza mambo yaliyosemwa na Manabii,+ mambo ambayo husomwa kwa sauti kubwa kila Sabato,