Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 50:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na uniite katika siku ya taabu.+

      Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+

  • Yeremia 33:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 ‘Niite, nami nitakujibu na kukuambia kwa utayari+ mambo makubwa na yasiyoweza kueleweka, usiyoyajua.’”+

  • Marko 11:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ndiyo sababu ninawaambia ninyi, Mambo yote mnayosali na kuomba juu yake iweni na imani kwamba ni kana kwamba tayari mmeyapokea, nanyi mtayapata.+

  • Yohana 15:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mkikaa katika muungano pamoja nami na maneno yangu yakae ndani yenu, ombeni lolote mnalotaka nalo litatukia kwenu.+

  • Yakobo 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini na aendelee kuomba+ kwa imani, bila kutia shaka hata kidogo,+ kwa maana yeye anayetia shaka ni kama wimbi la bahari linaloendeshwa na upepo+ na kupeperushwa huku na huku.

  • 1 Yohana 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 na chochote kile tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake.+

  • 1 Yohana 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na huu ndio uhakika ambao tunao kwake,+ kwamba, hata tukiomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki