Zaburi 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na uniite katika siku ya taabu.+Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+ Yeremia 33:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 ‘Niite, nami nitakujibu na kukuambia kwa utayari+ mambo makubwa na yasiyoweza kueleweka, usiyoyajua.’”+ Marko 11:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndiyo sababu ninawaambia ninyi, Mambo yote mnayosali na kuomba juu yake iweni na imani kwamba ni kana kwamba tayari mmeyapokea, nanyi mtayapata.+ Yohana 15:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mkikaa katika muungano pamoja nami na maneno yangu yakae ndani yenu, ombeni lolote mnalotaka nalo litatukia kwenu.+ Yakobo 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini na aendelee kuomba+ kwa imani, bila kutia shaka hata kidogo,+ kwa maana yeye anayetia shaka ni kama wimbi la bahari linaloendeshwa na upepo+ na kupeperushwa huku na huku. 1 Yohana 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 na chochote kile tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake.+ 1 Yohana 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na huu ndio uhakika ambao tunao kwake,+ kwamba, hata tukiomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+
3 ‘Niite, nami nitakujibu na kukuambia kwa utayari+ mambo makubwa na yasiyoweza kueleweka, usiyoyajua.’”+
24 Ndiyo sababu ninawaambia ninyi, Mambo yote mnayosali na kuomba juu yake iweni na imani kwamba ni kana kwamba tayari mmeyapokea, nanyi mtayapata.+
7 Mkikaa katika muungano pamoja nami na maneno yangu yakae ndani yenu, ombeni lolote mnalotaka nalo litatukia kwenu.+
6 Lakini na aendelee kuomba+ kwa imani, bila kutia shaka hata kidogo,+ kwa maana yeye anayetia shaka ni kama wimbi la bahari linaloendeshwa na upepo+ na kupeperushwa huku na huku.
22 na chochote kile tunachoomba tunapokea kutoka kwake,+ kwa sababu tunazishika amri zake na tunafanya mambo yanayopendeza machoni pake.+
14 Na huu ndio uhakika ambao tunao kwake,+ kwamba, hata tukiomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+