Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 42:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Mimi mwenyewe, Yehova, nimekuita katika uadilifu,+ nami nikakushika mkono wako.+ Nami nitakulinda na kukutoa kuwa agano la watu,+ kuwa nuru ya mataifa,+

  • Danieli 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Kuna majuma 70 ambayo yameamuliwa juu ya watu wako+ na juu ya jiji lako takatifu,+ ili kukomesha makosa,+ na kumaliza kabisa dhambi,+ na kufanya upatanisho kwa ajili ya kosa,+ na kuleta uadilifu mpaka wakati usio na kipimo,+ na kupiga muhuri+ juu ya maono na nabii, na kupatia mafuta Patakatifu pa Patakatifu.+

  • Waroma 4:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yeye alitolewa kwa ajili ya makosa+ yetu na kufufuliwa kwa ajili ya kututangaza sisi kuwa waadilifu.+

  • Waroma 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa hiyo, basi, kama vile kupitia kosa moja matokeo kwa watu wa namna zote yalikuwa kuhukumiwa hatia,+ vivyo hivyo pia kupitia tendo moja la kutetewa kuwa haki+ matokeo kwa watu wa namna zote+ ni wao kutangazwa kuwa waadilifu kwa ajili ya uzima.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki