Kutoka 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Usikubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha watu wanaoona vizuri na inaweza kupotosha maneno ya watu waadilifu.+ Kumbukumbu la Torati 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Usipotoshe hukumu.+ Usipendelee+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotoa maneno ya waadilifu. Zaburi 26:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ambao mikononi mwao wana mwenendo mpotovu,+Na ambao mkono wao wa kuume umejaa rushwa.+ Methali 17:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mwovu atachukua hata rushwa kifuani+ ili kupotosha mapito ya hukumu.+ Isaya 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 wale wanaomtangaza mtu mwovu kuwa mwadilifu kwa kufikiria rushwa,+ na wanaomwondolea mwadilifu hata uadilifu wake!+
8 “Usikubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha watu wanaoona vizuri na inaweza kupotosha maneno ya watu waadilifu.+
19 Usipotoshe hukumu.+ Usipendelee+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotoa maneno ya waadilifu.
23 wale wanaomtangaza mtu mwovu kuwa mwadilifu kwa kufikiria rushwa,+ na wanaomwondolea mwadilifu hata uadilifu wake!+