Ezekieli 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Tazama! Nafsi yangu haijatiwa unajisi;+ Sijala mnyama ambaye tayari amekufa wala mnyama aliyeraruliwa tangu ujana wangu,+ mpaka sasa, na nyama chafu haijaingia kinywani mwangu.”+ Mathayo 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtu hatiwi unajisi na kile kinachoingia ndani ya kinywa chake; bali kinachotoka katika kinywa chake ndicho humtia unajisi.”+ Matendo 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Petro akasema: “Sivyo hata kidogo, Bwana, kwa sababu sijakula kamwe kitu chochote kilichotiwa unajisi na kisicho safi.”+
14 Nami nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Tazama! Nafsi yangu haijatiwa unajisi;+ Sijala mnyama ambaye tayari amekufa wala mnyama aliyeraruliwa tangu ujana wangu,+ mpaka sasa, na nyama chafu haijaingia kinywani mwangu.”+
11 Mtu hatiwi unajisi na kile kinachoingia ndani ya kinywa chake; bali kinachotoka katika kinywa chake ndicho humtia unajisi.”+
14 Lakini Petro akasema: “Sivyo hata kidogo, Bwana, kwa sababu sijakula kamwe kitu chochote kilichotiwa unajisi na kisicho safi.”+