Mambo ya Walawi 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nanyi mtazishika sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu, ambazo ikiwa mtu atazifanya, yeye pia ataishi kwa hizo.+ Mimi ni Yehova.+ Ezekieli 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “ ‘ “Nami nikawapa sheria+ zangu; nayo maamuzi yangu ya hukumu+ nikawajulisha, ili mtu ambaye huendelea kuyafanya aweze pia kuishi kwa hayo.+ Luka 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Akamwambia: “Umejibu kwa usahihi; ‘endelea kufanya hivyo nawe utapata uzima.’ ”+
5 Nanyi mtazishika sheria zangu na maamuzi yangu ya hukumu, ambazo ikiwa mtu atazifanya, yeye pia ataishi kwa hizo.+ Mimi ni Yehova.+
11 “ ‘ “Nami nikawapa sheria+ zangu; nayo maamuzi yangu ya hukumu+ nikawajulisha, ili mtu ambaye huendelea kuyafanya aweze pia kuishi kwa hayo.+