Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 6:63
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 Roho ndiyo inayotokeza uzima;+ mwili hauna faida hata kidogo. Maneno ambayo nimewaambia ni roho+ na ni uzima.+

  • Yohana 14:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 roho ya ile kweli,+ ambayo ulimwengu hauwezi kuipokea,+ kwa sababu hauioni wala kuijua. Ninyi mnaijua, kwa sababu hiyo hukaa pamoja nanyi na imo ndani yenu.+

  • 1 Wakorintho 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana ni kwetu sisi Mungu ameyafunua+ kupitia roho+ yake, kwa maana roho+ huchunguza ndani ya mambo yote, hata mambo mazito+ ya Mungu.

  • 1 Wakorintho 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini mtu wa kimwili hayapokei mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua,+ kwa sababu hayo huchunguzwa kiroho.

  • 2 Timotheo 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Andiko lote limeongozwa na roho ya Mungu+ nalo ni lenye faida kwa kufundisha,+ kwa kukaripia,+ kwa kunyoosha mambo,+ kwa kutia nidhamu+ katika uadilifu,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki