7 Hata hivyo, si watu wote walio na ujuzi huu;+ bali wengine, wakiwa wameizoea sanamu mpaka sasa, hula chakula kama kitu kilichotolewa dhabihu kwa sanamu,+ na dhamiri yao, kwa kuwa ni dhaifu, inatiwa unajisi.+
12 Kwa sababu hiyo sikuzote nitakuwa na mwelekeo wa kuwakumbusha+ ninyi kuhusu mambo haya, ijapokuwa mnayajua hayo na mmewekwa imara katika kweli+ iliyo ndani yenu.+