Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 8:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hata hivyo, si watu wote walio na ujuzi huu;+ bali wengine, wakiwa wameizoea sanamu mpaka sasa, hula chakula kama kitu kilichotolewa dhabihu kwa sanamu,+ na dhamiri yao, kwa kuwa ni dhaifu, inatiwa unajisi.+

  • Wafilipi 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na hili ndilo ninaloendelea kusali, kwamba upendo wenu uwe mwingi+ hata zaidi na zaidi pamoja na ujuzi sahihi+ na utambuzi kamili;+

  • 2 Petro 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa sababu hiyo sikuzote nitakuwa na mwelekeo wa kuwakumbusha+ ninyi kuhusu mambo haya, ijapokuwa mnayajua hayo na mmewekwa imara katika kweli+ iliyo ndani yenu.+

  • 1 Yohana 2:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ninawaandikia ninyi, si kwa sababu hamjui kweli,+ bali kwa sababu mnaijua,+ na kwa sababu hakuna uwongo wowote unaotokana na kweli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki