Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 17:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 ili wote wapate kuwa kitu kimoja,+ kama vile ambavyo wewe, Baba, umo katika muungano pamoja na mimi na mimi nimo katika muungano pamoja na wewe,+ ili wao pia wapate kuwa katika muungano pamoja na sisi,+ ili ulimwengu upate kuamini kwamba ulinituma.+

  • Waroma 16:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Salimuni Androniko na Yunia jamaa+ zangu na mateka wenzangu,+ ambao ni watu maarufu kati ya mitume na ambao wamekuwa katika muungano+ na Kristo muda mrefu zaidi ya mimi.

  • 1 Wakorintho 1:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Lakini ni kwa sababu yake kwamba ninyi mko katika muungano na Kristo Yesu, ambaye kwetu amekuwa hekima+ kutoka kwa Mungu, pia uadilifu+ na utakaso+ na kuachiliwa huru kupitia fidia;+

  • 1 Wathesalonike 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana ninyi mlikuwa waigaji, akina ndugu, wa makutaniko ya Mungu yaliyo katika Yudea katika muungano na Kristo Yesu, kwa sababu ninyi pia mlianza kuteseka+ mikononi mwa wananchi wenzenu wenyewe mambo yaleyale kama yale ambayo wao pia wanateseka mikononi mwa Wayahudi,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki