Wakolosai 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Enyi wake, jitiisheni+ kwa waume zenu, kwa kuwa inafaa katika Bwana. Tito 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 wawe na utimamu wa akili, safi kiadili,+ wafanyakazi nyumbani, wema, wakijitiisha+ kwa waume zao wenyewe, ili neno la Mungu lisitukanwe.+ 1 Petro 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Vivyo hivyo,+ ninyi wake, jitiisheni+ kwa waume zenu wenyewe, ili, ikiwa wowote si watiifu+ kwa lile neno, wavutwe+ bila neno kupitia mwenendo wa wake zao,+
5 wawe na utimamu wa akili, safi kiadili,+ wafanyakazi nyumbani, wema, wakijitiisha+ kwa waume zao wenyewe, ili neno la Mungu lisitukanwe.+
3 Vivyo hivyo,+ ninyi wake, jitiisheni+ kwa waume zenu wenyewe, ili, ikiwa wowote si watiifu+ kwa lile neno, wavutwe+ bila neno kupitia mwenendo wa wake zao,+