Yohana 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa sababu Sheria ilitolewa kupitia Musa,+ fadhili zisizostahiliwa+ na kweli+ zilikuja kupitia Yesu Kristo. Waroma 3:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 nayo ni zawadi ya bure+ kwamba wanatangazwa kuwa waadilifu kwa fadhili zake zisizostahiliwa+ kupitia kuachiliwa huru kwa njia ya fidia+ ambayo Kristo Yesu alilipa. 1 Wakorintho 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sikuzote ninamshukuru Mungu kwa ajili yenu kwa sababu ya fadhili zisizostahiliwa+ za Mungu mlizopewa katika Kristo Yesu;+
17 Kwa sababu Sheria ilitolewa kupitia Musa,+ fadhili zisizostahiliwa+ na kweli+ zilikuja kupitia Yesu Kristo.
24 nayo ni zawadi ya bure+ kwamba wanatangazwa kuwa waadilifu kwa fadhili zake zisizostahiliwa+ kupitia kuachiliwa huru kwa njia ya fidia+ ambayo Kristo Yesu alilipa.
4 Sikuzote ninamshukuru Mungu kwa ajili yenu kwa sababu ya fadhili zisizostahiliwa+ za Mungu mlizopewa katika Kristo Yesu;+