2 Wakorintho 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kila mmoja na afanye kama alivyoazimia moyoni mwake, si kwa kutopenda+ wala kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu humpenda mtoaji mchangamfu.+ 1 Petro 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lichungeni+ kundi la Mungu+ lililo chini ya uangalizi wenu, si kwa kulazimishwa, bali kwa kupenda;+ wala si kwa kupenda pato lisilo la haki,+ bali kwa hamu;
7 Kila mmoja na afanye kama alivyoazimia moyoni mwake, si kwa kutopenda+ wala kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu humpenda mtoaji mchangamfu.+
2 Lichungeni+ kundi la Mungu+ lililo chini ya uangalizi wenu, si kwa kulazimishwa, bali kwa kupenda;+ wala si kwa kupenda pato lisilo la haki,+ bali kwa hamu;