22 Kwa hiyo, ona fadhili+ na ukali+ wa Mungu. Kuna ukali kuwaelekea wale walioanguka,+ lakini kuna fadhili za Mungu kukuelekea wewe, ila tu ukae+ katika fadhili zake; kama sivyo, wewe pia utakatwa.+
10 Usiogope mateso ambayo yanakaribia kukupata.+ Tazama! Ibilisi+ ataendelea kuwatupa gerezani baadhi yenu ili mjaribiwe kwa ukamili,+ na ili muwe na dhiki+ siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufikia kifo,+ nami nitakupa taji la uzima.+