Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wafilipi 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa hiyo, wapendwa wangu, kwa jinsi ambavyo mmekuwa mkitii sikuzote,+ si wakati wa kuwapo kwangu tu, bali kwa utayari zaidi sasa wakati wa kutokuwapo kwangu, endeleeni kuufanyia kazi wokovu wenu wenyewe kwa kuogopa+ na kutetemeka;

  • 2 Timotheo 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Fanya kabisa yote unayoweza ili ujitoe kwa Mungu ukiwa mtu aliyekubaliwa,+ mfanyakazi+ asiye na lolote la kuonea aibu,+ ukilitumia sawasawa neno la kweli.+

  • Waebrania 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa hiyo acheni sisi tufanye yote tunayoweza ili kuingia katika pumziko hilo, yeyote asije akaanguka katika kielelezo kilekile cha kutotii.+

  • Yuda 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Wapendwa,+ ingawa nilikuwa nikifanya kila jitihada kuwaandikia ninyi juu ya wokovu ambao sisi tunao kwa pamoja,+ niliona ni lazima niwaandikie ili kuwahimiza mfanye pigano kali kwa ajili ya imani+ ambayo watakatifu walikabidhiwa mara moja kwa wakati wote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki