12 Kwa hiyo, wapendwa wangu, kwa jinsi ambavyo mmekuwa mkitii sikuzote,+ si wakati wa kuwapo kwangu tu, bali kwa utayari zaidi sasa wakati wa kutokuwapo kwangu, endeleeni kuufanyia kazi wokovu wenu wenyewe kwa kuogopa+ na kutetemeka;
15 Fanya kabisa yote unayoweza ili ujitoe kwa Mungu ukiwa mtu aliyekubaliwa,+ mfanyakazi+ asiye na lolote la kuonea aibu,+ ukilitumia sawasawa neno la kweli.+
3 Wapendwa,+ ingawa nilikuwa nikifanya kila jitihada kuwaandikia ninyi juu ya wokovu ambao sisi tunao kwa pamoja,+ niliona ni lazima niwaandikie ili kuwahimiza mfanye pigano kali kwa ajili ya imani+ ambayo watakatifu walikabidhiwa mara moja kwa wakati wote.+