4 Kwa maana, kama ilivyo, mtu fulani akija na kuhubiri Yesu mwingine tofauti na yule tuliyemhubiri,+ au mkipokea roho nyingine tofauti na ile mliyopokea,+ au habari njema+ nyingine tofauti na ile mliyokubali, mnamvumilia kwa urahisi.+
6 Mimi ninashangaa kwamba mnaondolewa upesi hivyo kutoka kwake Yeye+ aliyewaita ninyi kwa fadhili zisizostahiliwa+ za Kristo nanyi mnapelekwa kwenye habari njema ya aina nyingine.+
18 Amri hii+ ninakupa wewe, mtoto, Timotheo, kwa kupatana na matabiri+ yaliyoongoza moja kwa moja mpaka kwako, ili kwa hayo uendelee kupigana vita vizuri;+