Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na ninyi wenyewe mtakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’+ Hayo ndiyo maneno utakayowaambia wana wa Israeli.”

  • Yohana 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tunachokijua,+ kwa sababu wokovu hutokana na Wayahudi.+

  • Tito 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa Tito, mtoto wangu+ kwelikweli kulingana na imani inayoshirikiwa kwa pamoja:

      Na kuwe na fadhili zisizostahiliwa na amani kutoka kwa Mungu Baba+ na Kristo Yesu Mwokozi wetu.+

  • Waebrania 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 sisi tutaponaje+ ikiwa tumepuuza+ wokovu mkuu+ namna hii kwa kuwa ulianza kusemwa kupitia Bwana+ wetu nasi tukathibitishiwa+ na wale waliomsikia,

  • 1 Petro 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ watu wa kuwa mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”+ zake yeye aliyewaita ninyi kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+

  • 2 Petro 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Simoni Petro, mtumwa+ na mtume+ wa Yesu Kristo, kwa wale ambao wamepata imani, yenye pendeleo lililo sawa na letu,+ kupitia uadilifu+ wa Mungu wetu na Mwokozi Yesu Kristo:+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki