9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ watu wa kuwa mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”+ zake yeye aliyewaita ninyi kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+
1Simoni Petro, mtumwa+ na mtume+ wa Yesu Kristo, kwa wale ambao wamepata imani, yenye pendeleo lililo sawa na letu,+ kupitia uadilifu+ wa Mungu wetu na Mwokozi Yesu Kristo:+